ANDAZI – Lulu Diva Ft Rayvanny, Whozu & Chino Kidd ( Lyrics Letra Letra) Letra Rayvanny ANDAZI – Lulu Diva Ft
Lulu diva;sexy diva divana
Chino kid;eeeh chino wana man eeeh chino
Whozu ;Yeza yezaa
Vannyboy;chuiiiii
verse 1;
chui
etiiii eehhhhh Nilikuwana lia nn
oohhh Nilitesekaga na nini?
eeeeeh Ivi Aliniteka na nini?
Oooooh Alinisumbua na nini? yeee
Chorus
ex na andazi nachagua andazi
ex na bia nachagua bia
repeat chorus x2
Bridge
Toka weee nenda weeee
niache wee Byee weee
Repeat bridge x3
Verse 2;
Chui
nakula Upepo nimeshasahau mateso
ukimtaja ex napata kichefuchefu
niondoleee mapepo x2
Verse;3
Sexy diva divana
sikusikii sexy nini unasema
hivi unaogea ama unabweka
stk tena stress usirudi tena
sahivi najiokotea mgodi umetema
daddiiii daddy kanipa zawadi
kani nunulia gari kanipa na kadi
dadiii daddy kanipa zawadi
kani nunulia gari kanipa na kadi
Repeat chorus x2
Repeat Bridge x2
Verse 3;
Whozu
Etiiii eeeeeh nilikuwa nalia nn
oooooh nilitesekaga na nini
eeeh ivi aliniteka na nini
oooooh alinisumbua na nini mbwa yule
Repeat chorus x2
Repeat bridge x2
Verse 4;
Chino wanaman
Habari yako,usitume tena watu wako
hiyo block ya whatsapp kahujui
hiyo ndo talaka yako chino wanaman
habari yako usitume tena watu wako
hiyo block ya whatsapp kahujui
hiyo ndo talaka yako eeeeh
ushani vuruga vuruga kichwa
nikikunyima pesa basi ndani vita
aaahhaah bila kisa hata kurudi tena
nafsi Ina sita ishuuuuuuuu
sexy diva;Repeating chorus
sexy diva;Repeating bridge
Lyrics, Letras, Paroles, Deutsche, Letras, Testi,Тексты, Texty, Norske, Текстови, Versuri, Persian, Liricí, Lirik, Nederlandse, Tagalog