Aslay – Kwatu

Kwatu – Aslay
Lyrics, Letra:
Mmwaaah mmwaaah mmwaaah

Baby mi na we nganganga
Usije ukaenda kwa mgaga
Dj ebu piga charanga tuchezee
Wanauliza maswali
Tuwajibu kwa vitendo

Waambieee wajue
Mi kwako nishatia nangaaa
Fumba macho usije danga
Utaniumiza roho
Nikila korosho
Kula karanga, tuzimeze ooh
Usiniache nitatangatanga
Yatima ooh
Unionyeshe alokufunza nyakanga
Kitandani njoo
Nimeona wengi sana
Wazuri sana
Ila kwako nimekwama
Sijatereza kukuchagua
Nichochee, nichochee
Kama moto unichochee

Kwatu
Roho yangu kwatuu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu kwatu
Roho yangu kwatu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu

Lyricsbyletras.com

Ukiwa mbali mwili wote unapooza
Nahisi kama nimekufa na tayari nishaoza
Chai sukari
Mupenzi hebu koleza
Usije ukakurupuka ukajaniacha kwa jeneza
Familia yangu iko polisi inakutafuta wewe
Nasikia unabonge la kesi la kuniteka mie
oooh loo loo loooh
La kuniteka mie eeh eeh eehk
aaah aaah aaaah aaaaaaaakh
Wambie wajue
Mi kwako nishatia nangaa
Nimeona wengi sana
Wazuri sana
Ila kwako nimekwama
Sijatereza kukuchagua
Nichochee, nichochee
Kama moto unichochee
Vunja mifupa kama meno ipooo

Kwatu
Roho yangu kwatuu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu kwatu
Roho yangu kwatu
Kua na wewe
Kwatu kwatu kwatu
Roho yangu

Nikishika kiuno
Unishika mabega
ayayaaah
Unavonigusa kokote mwenzako naregea
ayayaaaaaah
Baby humo humo
Uliponishikia
ayayaaaayaah
Uking’olewa meno
Mwenzako navimba mdomo pia
ayayayaaayaah

waambie wajue mi kwako nishatia nangaaaa

Search music video on youtube:

    Descubra mais sobre LyricsByLetras

    Assine agora mesmo para continuar lendo e ter acesso ao arquivo completo.

    Continue reading