Barakah The Prince – Mawazo

Mawazo – Barakah The Prince
Lyrics, Letra:
Eeeh… yeaaaah… Hmmm

Nilisha afanyia makeke
Mapepe malipo yakawa makuzi
Kwakuchukuliwa mke bwana
Nikamwaga pesa zote
Kote yakanifanya mpuuzi
Acha adhabu nishike jamaa

Hiyo yote niliamini mepenzi ni imani ooho
Na kuhonga nilidiliki mpaka magari yeah
Bado yalinidhibiti mapenzi jamani oh yeah
Bado pia pia niliyaongezea sikukimbia

(CHORUS}
Oooh mawazo (oooh jamani)
Oooh mawazo, Mawazo, mawazo
Ooh mawazo
Yalinikata usingizi
Yalinikomesha mawazo
Ya mapenzi
Mawazo, (ooh) mawazo mawazo
Ooh mawazo  ooh
Na bado niliyathamini

Lyricsbyletras.com

Mambo mengi unaweza tedwa
Wala usiji pump ukarudia kupenda
Mambo mengi unaweza tedwa
Wala usiji pump ukarudia kupenda mawazo

Na lililokua kubwa hitaji langu mapenzi
Bado yakawa ni maigizo kwangu ushenzi
Yalirudisha nyuma ilo imani yangu ya penzi
Ni vigumu kuamini
Yapo mapenzi pasina penzi
Maana upo mawazo (Mawazo mawazo)
Mawazo mawazo
Yalini kondesha

Nilibaki mifupa sababu ya mawazo
Ooh mawazo  Mawazo mawazo
Yaliniumiza mawazo
Mwenzenu she broke my heart

 (CHORUS}
Oooh mawazo
Oooh mawazo, mawazo, mawazo
Ooh mawazo oh mama
Yalinikata usingizi
Yalinikomesha mawazo
Mawazo, (ooh) mawazo mawazo
Ooh mawazo ooh
Na bado niliyathamini
Eeehhhh

Na bado niliyathamini
Mambo mengi unaweza tedwa
Wala usiji pump ukarudia kupenda mawazo

 

Search music video on youtube:

    Descubra mais sobre LyricsByLetras

    Assine agora mesmo para continuar lendo e ter acesso ao arquivo completo.

    Continue reading