Harmonize – Yanga

Harmonize – Yanga Lyrics Letra:
Oh oo oooo

Hii hapa sauti ya Konde boy mjeshi

Mtoto wa jangwani timu ya wananchi

Yaani kati kati ya jiji la Dar

Si ndo watoto wa jangwani Yanga Dar Africa

Makombe ya kabatini Hawawezi kufika

Mpira unapigwa chini magoli uhakika

Yaani dakika tisini tumesha watundika

Wanaona donge hao wanyonge

(Wanaona donge hao wanyonge)

Yanga tunaposhinda wanaona donge

(Wanaona donge hao wanyonge)

Wanaona donge hao wanyonge

(Wanaona donge hao wanyonge)

Yanga tunaposhinda wanaona donge

(Wanaona donge hao wanyonge)

Engineer naomba nikutume

Unifikishie salamu

Kwa Dr Msolo na Antonio Lugazi

Ah waambie majirani Yanga sio size yao

Yanga sio size yao, Kabisa!

Wanaokwenda na waende, watuachie wenyewe

Wanaokwenda na waende, watuachie wenyewe

Yanga sio size yao, Yanga sio size yao

Yanga sio size yao, Yanga sio size yao

Yanga sio size yao, Yanga sio size yao

Tupeleke GSM

Watoto wa GSM

Wanangu wa Jangwani

Walepale wanachechemea (Yanga Tunakimbia)

Waone wanachechemea (Yanga Tunakimbia)

Eeeh Wanachechemea (Yanga Tunakimbia)

Aanachechemea (Yanga Tunakimbia)

Lyricsbyletras.com

Wakitoka wanachechemea (Yanga Tunakimbia)

Yanga Kindakindaki wapige waniuwe

Naipenda Yanga Kindakindaki wapige wniuwe

Yani mi shabiki Kindakindaki wapige wniuwe

Yanga Kufa kupona wapige wniuwe

Eeh basi kama unaipenda Yanga piga Makofi

We bwogi twende tena piga makofi

Kama unaipenda Yanga piga makofi

Ongeza Ongeza tena piga makofi

Aya pasha pasha wahumi pasha

Twende pasha pasha wahumi pasha

Aya pasha pasha Yanga pasha

I sey ma piga makofi piga makofi

Piga makofi piga makofi

Piga makofi piga makofi

Kama wa ni shabiki kweli onyesha jezi nikuone

Uzi mpya wa GSM we onyesha nikuone

Kama kweli shabiki damu vua jezi nikuone

We kama kweli shabiki damu lala chini tukuone

Asa Yanga daima mbele

Ehhh mbele kwa mbele

(Wakinshindana nasiri watachuma tembele)

Twende mbele kwa mbele

Yanga daima mbele

(Wakinshindana nasiri watachuma tembele)

Yanga daima mbele

Eeh mbele kwa mbele

(Wakinshindana nasiri watachuma tembele)

Yanga daima mbele

Yani mbele kwa mbele

(Wakinshindana nasiri watachuma tembele)

Watoto wa Jangwani wambi

Wambi majirani zetu wamechokoza nyuki

Tunawapumilia gorin kwao Hatubanduki

Anayezungumza Apa ni

Konde boy #DTF Mjeshi

Twende sasa
Letra lyrics lyric letras versuri musiek lirieke tekstet paroles

Search music video on youtube:

    Descubra mais sobre LyricsByLetras

    Assine agora mesmo para continuar lendo e ter acesso ao arquivo completo.

    Continue reading