Sample – Magix Enga Lyrics, Letra:
Tumechoka na kusample
Hio ndoto weka kwako
Tumechoka na kupagwa
Hizo para weka kando
Hapa ni Kenya si Ng’ambo
Kimdomo na utamangwa
Hapa ni ngori ni diambo
Verse cut kaa kando
Tumechoka na kusample
Hio ndoto weka kwako
Tumechoka na kupagwa
Hizo para weka kando
Hapa ni Kenya si Ng’ambo
Kimdomo na utamangwa
Hapa ni ngori ni diambo
Verse cut kaa kando
Nikawasha moto juzi
Wakadai ati ni kiki
Ngeus wako pigwa miti
Ikabaki jo ni kiki
Mi ni beat king sick
But wan talk have a sit
TID nikuchome jo kimoja
Ndo ufunge kimudomo
Mi ni odi mi ni gangsta
Sitishwi na vitu ndogo
Toto niko na mbogi ya Jenga
Buda ushai jipata kwa thena(Ogopa)
Ushaijipata unatukana beat king
Anakujibu na deng’a
Juzi nimepitia IG
Nimeona macomments za Watanzania manze
Haufai kusample beat ya Magix Enga
Mtabonga huko mkiwa huko kwenyu
But hapa kwetu jo, sihitaji ata Mutua jo
Tumechoka na kusample
Hio ndoto weka kwako
Tumechoka na kupagwa
Hizo para weka kando
Hapa ni Kenya si Ng’ambo
Kimdomo na utamangwa
Hapa ni ngori ni diambo
Verse cut kaa kando
Tumechoka na kusample
Hio ndoto weka kwako
Tumechoka na kupagwa
Hizo para weka kando
Hapa ni Kenya si Ng’ambo
Kimdomo na utamangwa
Hapa ni ngori ni diambo
Verse cut kaa kando
Huwezi ukabishana jo na badman
Get to know that man before ubonge sana
Beat king killer niko job niko wera nasaka mkwanja
Olamide chunga bana usijipate jo kwa blunder
Oga vizuri
Toka na Konde Gang(Rraaah!)
Niwapeleke kadinner
Mkule mnone man
Hii sio diss ni message ukipenda jo kusample
Ju niko na banger kibao, zinatoka mkisample
Niko na mafothe kibao chunga usije jo kusample
Before usample sample
Enda ukaulize bana
Beat King enda ukaulize bana
Sample sample sample, enda ukaulize bana
Enda ukaulize bana
Tumechoka na kusample
Hio ndoto weka kwako
Tumechoka na kupagwa
Hizo para weka kando
Hapa ni Kenya si Ng’ambo
Kimdomo na utamangwa
Hapa ni ngori ni diambo
Verse cut kaa kando
Tumechoka na kusample
Hio ndoto weka kwako
Tumechoka na kupagwa
Hizo para weka kando
Hapa ni Kenya si Ng’ambo
Kimdomo na utamangwa
Hapa ni ngori ni diambo
Verse cut kaa kando
Letra lyrics lyric letras versuri musiek lirieke tekstet paroles