RINGTONE – Natafuta Bibi

Natafuta Bibi – RINGTONE Lyrics, Letra:
Oa, oa, yeah yeah
Ringtone, mwana Ringtone 

Natafuta bibi, nisaidie
Natafuta bibi, mniombee
Natafuta bibi, pastor nisaidie
Natafuta bibi, mniombee

Natafuta bibi anayempenda Mungu(Oooh)
Hapendi fitina anapenda watu(Oooh)
Anapenda kuomba anapenda kusifu(Oooh)
Mwenye hekima na hofu(Oooh)

Ananyenyekea, anapenda watu
Anapenda watoto, anapenda Mungu
Anatoa sadaka na fungu la kumi
Yuko wapi? Namtafuta

Daudi akasema
Nilikuwa kijana sasa ni mzee
Na sijawahi ona
Mungu ameacha mwenye haki

Natafuta bibi, nisaidie
Natafuta bibi, mniombee
Natafuta bibi, pastor nisaidie
Natafuta bibi, mniombee

Watu hawataki kuelewa 
Mimi wananichekelea 
Kwake Mungu nategemea
Mke ataniletea

Lyricsbyletras.com

Alivyompa Sara
Mtoto miaka ya uzeeni
Na akamjibu Hannah
Akampa wana

Daudi akasema
Nilikuwa kijana sasa ni mzee
Na sijawahi ona
Mungu ameacha mwenye haki

Natafuta bibi, nisaidie
Natafuta bibi, mniombee
Natafuta bibi, pastor nisaidie
Natafuta bibi, mniombee

Maombi yangu, mi nifanye harusi
Watu wale pilau, washerehekee
Tutembee kanisani, watu waimbe pambio
Kwetu nyumbani, watu washerehekee

Wale hawakuamini
Wanaeza wa-washerehekee
Wale walionipenda
Mbele yao waniletee zawadi

Tuwe na harusi
Itakayofunganishwa kanisani
Tuwe na harusi
Itakayokubalika mbinguni

Natafuta bibi, nisaidie
Natafuta bibi, mniombee
Natafuta bibi, pastor nisaidie
Natafuta bibi, mniombee

Natafuta bibi, nisaidie
Natafuta bibi, mniombee
Natafuta bibi, pastor nisaidie
Natafuta bibi, mniombee

Letra lyrics lyric letras versuri musiek lirieke tekstet paroles

Search music video on youtube:

    Descubra mais sobre LyricsByLetras

    Assine agora mesmo para continuar lendo e ter acesso ao arquivo completo.

    Continue reading