Lyrics Leteipa the King – Naila

Lyrics Leteipa the King - Naila #INTRO Mhhhhhhh Ni Vampk 254 Big Daddy.. #VERSE Siku hizi namea kitambi, penzi tamu unalonipa. Kama kukupenda ni dhambi, mbinguni kamwe sitofika. Unanifanya niwe chongo, kipenzi weeh, Siku hizi wengine siwaoni. Unaponigusa...