No menu items!
More

    Yammi – Hanipendi Lyrics

    Hanipendi Lyrics

    Yammi
    Hivi unavyo nifanyia naomba visijirudi kwako
    Maana mi naupenda moyo wako
    Nime muonaaa dah.. ume mpost mtu wako
    Mnaendana sanaa na mimi sio type yakoo

    Nateswa na baridi silalii na weweseka
    Kulikosa penzi lako dosari na dhalilika
    Wakunipendeza amekuwa dhohari nyinyi nataabika
    Zile njozi sizipati nzuri

    Ooohhhh
    Hanipendi hanipendi hanipendi
    Hanitaki teena jamani hanipendi
    Hanipendi hanipendi hanipendi
    Hanitaki teena hanipendi..

    Kabadilika kawa mbogo instagramu ana post madongo
    Kautupa moyo kwa korongo sioni kasha nipa chongo
    Mapenzi swala la uwongo siamini nime chezeshwa sodo
    Mwenzenu nime ukoka moto
    Unaniunguza mwenyewee

    Nateswa na baridi silalii na weweseka
    Kulikosa penzi lako dosari na dhalilika
    Wakunipendeza amekuwa dhohari nataabika
    Zile njozi sizipati nzuri

    Ooohhhh
    Hanipendi hanipendi hanipendi
    Hanitaki teena jamani hanipendi
    Hanipendi hanipendi hanipendi
    Hanitaki teena hanipendi

    Advertisement

    Kenia OS – La OG

    La OG Lyrics by Letras Kenia OS Yo...

    Kenia OS – Kitty (part....

    Kitty (part. La Joaqui) Lyrics by Letras ...

    Kenia OS – Big Bang

    Big Bang Lyrics by Letras Kenia OS (K...

    Kenia OS – VIP (part....

    VIP (part. Villano Antillano) Lyrics by Letras ...

    Kenia OS – Solo Una...

    Solo Una Vez Lyrics by Letras Kenia...

    Kenia OS – Es Así

    Es Así Lyrics by Letras Kenia OS Quizás,...

    Yammi – Namchukia Lyrics

    Namchukia Lyrics Yammi Uzuri si hadidhiwi nayaona Haya aapa nayaona Mabaya yako kwa macho yangu nayona Sio kwamba napenda kuwa kin'gan'ganizi tatizo mazoea Nime kuzoea sidhani kama ntapona Napiga simu namba...

    Yammi – Tunapendezana Lyrics

    Tunapendezana Lyrics Yammi Acha nikubembeleze kwa ushahiri na utenzi Ahsante Mwalimu, Mwalimu wa mapenzi Sogea niku non'goneze neno zuri la mapenzi Kukuacha ni sumu labda apange Mwenyezi Nyoyo zetu zime...