D Voice Ft Zuchu – BamBam Lyrics

D Voice Ft Zuchu – BamBam Lyrics

D Voice Ft Zuchu – BamBam ( Lyrics Letra ) Letra D Voice D Voice Ft Zuchu – BamBam ( Lyrics Letra )
Washumba na mashumba wena
Haikatox haikatai
Naenjoy mapenzi ananipenda wallah
Sikuhizi kiboss acha nijidai
Penzi limefana kama suti na tai limenogaa
Raha tu chumbani bafana bafanaa
Kitandani ana nichezesha sheree
Nimeoza moyo maini maini mpaka bandama
Ye ndo kucha kanikuna kipelee
Asa wenzenu leo hatulalii
kitandana cha moto

Wakubwa tunakesha kulala tuwaachie watoto
Usiku ndo hatarii
moto juu ya moto

Tunazama sayari yani chocho juu ya chocho
Mi na yeye bambam
Ye ni hawa mi adam dam dam
Wenzenu penzi letu tam tam tam
Mi na yeye dam dam dam
Zuchu chu chu
My baby good morning itika how are you

how are you

Mi siko fine toka jana usiku
Nisipokuona tu honey mi presha yawa juu
yawa juu

Naogopa vinyani visikuibe my boo
Ooh kwake natolewa miba wa samaki kole kole
Ooh ananilisha nashiba kisha ananipa pole
Onana
Onana nana ono nono
Pendashana i ilove more more
Natukigombana mtulize mishono
Tunajuana mtachoka midomo
Wenzenu leo hatulalii
kitandana cha moto

Wakubwa tunakesha kulala tuwaachie watoto
Usiku ndo hatarii
moto juu ya moto

Tunazama sayari yani chocho juu ya chocho
Mi na yeye bambam
Ye ndo hawa mi adam dam dam
Wenzenu penzi letu tam tam tam
Mi na yeye dam dam dam
Onana nana ono nono
Pendashana i ilove more more
Natukigombana mtulize mishono
Tunajuana mtachoka midomo

Lyrics, Letras, Paroles, Deutsche, Letras, Testi,Тексты, Texty, Norske, Текстови, Versuri, Persian, Liricí, Lirik, Nederlandse, Tagalog