Macvoice – BODY Lyrics

Macvoice – BODY Lyrics Letra Macvoice Macvoice – BODY ( Lyric Audio)
Tamu, Tamu (Eyo Trone)
Tamu, Tamu (Ayo Lizer)

Sura tisi chocolate
Kidoti joketi katoto ni keki
Nitamwaga bajeti, nikape tiketi
Kunipeti peti

Eh ulivyojazia ukinisusia itanizidia eeh
Nang’ang’ania sitokuachia unanipatia eeh

Sambusa kachori, napenda macho yako gololi
Nisharuka nikajoli, tucheze kuchikuchi kwenye mapori
Sambusa kachori, napenda macho yako gololi
Nisharuka nikajoli, tucheze kuchikuchi kwenye mapori

Alamba (Tamu)
Ah alamba tena (Tamu)
Oh alamba (Tamu)
Ah alamba tena (Tamu)

Ah alamba (Tamu)
Ah alamba tena (Tamu)
Oh alamba (Tamu)
Ah alamba tena (Tamu)

Vanny Boy, no no no no no

Alamba ta, mutamu napenda ukitabasamu
Unavyonipa kwa mashamu mashamu
Hujaniita naka-mukamu

Nitachuchumia na kuning’inia
Nipekupania yooh
Nitakusugulia ka steel wire
Na masufuria yoh

Nikisimama we lala, tamu tamu
Nipe nguru sangara, tamu tamu
Ukikamata mnara, tamu tamu
Nitulize papara, tamu tamu

Sambusa kachori, tafuna tango ghetto si za mori
Nisharuka nikajoli, tucheze kuchikuchi kwenye mapori
Sambusa kachori, tafuna tango ghetto si za mori
Nisharuka nikajoli, tucheze kuchikuchi kwenye mapori

Alamba (Tamu)
Ah alamba tena (Tamu)
Oh alamba (Tamu)
Ah alamba tena (Tamu)

Ah alamba (Tamu)
Ah alamba tena (Tamu)
Oh alamba (Tamu)
Ah alamba tena (Tamu)

Nimeshakupa seat, ukae mwenyewe ujinafasi
Siwezi kukucheat, basi niamini ndo waasi
Mi ni mfungwa kwenye jela yako, nifungwe milele, milele
Kweli pombe ya mapenzi yako, niacheni nilewe, nilewe

Sambusa kachori, napenda macho yako gololi
Nisharuka nikajoli, tucheze kuchikuchi kwenye mapori
Sambusa kachori, napenda macho yako gololi
Nisharuka nikajoli, tucheze kuchikuchi kwenye mapori

Alamba (Tamu)
Ah alamba tena (Tamu)
Oh alamba (Tamu)
Ah alamba tena (Tamu)

Ah alamba (Tamu)
Ah alamba tena (Tamu)
Oh alamba (Tamu)
Ah alamba tena (Tamu)
Lyrics, Letras, Paroles, Deutsche, Letras, Testi,Тексты, Texty, Norske, Текстови, Versuri, Persian, Liricí, Lirik, Nederlandse, Tagalog

Lyrics Macvoice – Ukinichiti (Official Video)

Lyrics Macvoice – Ukinichiti (Official Video)

Macvoice – Ukinichiti (Official Video) Lyrics
Aliekuumiza mtafutie mwenziee
Ili ukimpost akimuona aumie
Tena mkiachana chunga usimrudi
Post nyumba pesa gari ili ajutie
Ndo mama mimi simuwazi
Akichelewa kurudi naacha mlango wazi
Tena namwambia aogope maradhi
Akumbuke kinga asiende waziwazi

Nishaumizwa nishateswa na mapenzi
Nusu nitoke uhai uhai uhai
Nishaenyeka sana
Mi natoa mapesa wao wana furahi furahi furahiii

Ukinichiti nakuchiti
Ukiniacha nakuacha
Kwani yani shingapi
Ya nini tuumizane roho

Ukinichiti nakuchiti
Ukiniacha nakuacha
Kwani yani shingapi
Ya nini tuumizane roho

Shii shi shishi
Shishi shishi
Mh shishi shishi shishi
Shii shi shishi
Shishi shishi
Mh shishi shishi shishi

Kidole changu kimoja hakivunji chawa
Kama ukipenda boga penda na ua sawa
Ata ukiniroga husizidishe dawa
Nipe chuzi kunoga nijitanue mabawa
Haya mapenzii hayanaga fundi Ouuh
Haya mapenzi yalikuwepo toka enzi uuh
Acha nilewe eeh acha nipombeke
Aah stress zanini eeh pembeni nijiwekee
Acha nilewe acha nipombeke eeh

Stress za nini eeh pembeni nijiwekee
Nishaumizwa nishateswa na mapenzi
Nusu nitoke uhai uhai uhai
Nishaenyeka sana
Mi natoa mapesa wao wana furahi furahi furahiii

Ukinichiti nakuchiti
Ukiniacha nakuacha
Kwani yani shingapi
Ya nini tuumizane roho

Ukinichiti nakuchiti
Ukiniacha nakuacha
Kwani yani shingapi
Ya nini tuumizane roho

Shii shi shishi
Shishi shishi
Mh shishi shishi shishi
Shii shi shishi
Shishi shishi
Mh shishi shishi shishi

Ukinichiti nakuchiti
Ukiniacha nakuacha
Kwani yani shingapi
Ya nini tuumizane roho

Ukinichiti nakuchiti
Ukiniacha nakuacha
Kwani yani shingapi
Ya nini tuumizane roho
Lyrics, Letras, Paroles, Deutsche, Letras, Testi,Тексты, Texty, Norske, Текстови, Versuri, Persian, Liricí, Lirik, Nederlandse, Tagalog