Marioo – Asante Lyrics

Marioo – Asante ( Lyrics) Letra Marioo Lyrics Marioo – Asante ( Lyrics)
Hata kushukuru

Mimi ni yupi nisiyeweza

Nisiyejua hata shukrani

Leo mapema I say

Aaah asante

Eeeh Eeeh Asante

Oooh Oooh Asante

Uuuh Uuuh Asante

Hata mdudu sijiiti

Labda wengine wana njia

Zao za kuomba

Mi sijiiti hata mnyama sijiiti

Labda pengine muda mwingine

Wana njia zao za kushukuru

Sijui Aaaaah

Watu wengi wanashindwa

Mimi hapa nikaweza

Wewe umeniwezesha kwanini nasahau

Watu wengi wakwama

Mimi hapa nikapita

Wewe ukanipitisha kwanini nasahau

Kama nina miguu miwili

Umenipa mikono miwili

Hapa nipo na macho naona

Mi ni mtu gani

Mimi ni nani nisiyeweza nisiyejua

Hata kushukuru

Mimi ni yupi nisiyeweza

Nisiyejua hata shukrani

Leo mapema I say

Aaah asante

Eeeh Eeeh Asante

Oooh Oooh Asante

Uuuh Uuuh Asante

Asante baba asante kwa kila leo

Aaay iye iye

Eeeh Aaaah

Ipi sababu ya mimi kutembea mpaka leo

Ipi sababu ya mimi kuiona hii leo

Ipi sababu ya mimi kuongea mpaka leo

We ndio sababu nadunda mpaka leo

Ooooh nikukumbuke

Kwenye raha sio nikiumwa tu

Ama nikiwa na shida tu

Uuuh kama nina miguu miwili

Umenipa mikono miwili

Hapa nipo na macho naona

Onaaa mimi

Mimi ni nani nisiyeweza nisiyejua

Hata kushukuru

Mimi ni yupi nisiyeweza

Nisiyejua hata shukrani

Leo mapema I say

Aaah asante

Eeeh Eeeh Asante

Oooh Oooh Asante

Uuuh Uuuh Asante
Lyrics, Letras, Paroles, Deutsche, Letras, Testi,Тексты, Texty, Norske, Текстови, Versuri, Persian, Liricí, Lirik, Nederlandse, Tagalog

Marioo Feat. Mr Nice – Shisha Lyrics

Marioo Feat. Mr Nice – Shisha ( Lyrics Letra Letra) Letra Marioo Lyrics Marioo Feat. Mr Nice – Shisha ( Lyrics Letra Letra)
Aloooh

Eeeh sitegeki aiseee

Eeeh sitegeki aiseee

Nishakwambia sipendeki aisee

Eeeh sitegeki aiseee

We nani hasa uniendeshe

Kama mamaangu

Toka hapa

We nani hasa uniendeshe

Kama babaangu

Toka hapa

Moyo wangu ushaota sugu

Siwezi kupendana

Aku mie mwenzako

Napenda shisha Me nataka shisha

Shisha shisha shisha shisha

Napenda shisha Me nataka shisha

Shisha shisha shisha shisha

Alooooh Mmmmh

King’asti i need you i love you

King’asti i need you i love you

Huo ni uongo

Aloooh

Kama unanipenda kaninunulie gari show

Kama unantaka kannulie nyumba Show

Kama unanipenda kaninunulie gari show

Kama unantaka kannulie nyumba Show

Aloooooh

Moyo wangu ushaota sugu

Siwezi kupendana

Aku mie mwenzako

Napenda shisha Me nataka shisha

Shisha shisha shisha shisha

Napenda shisha Me nataka shisha

Shisha shisha shisha shisha

Alooooh Mmmmh

King’asti i need you i love you

Huo ni uongo

Lyrics, Letras, Paroles, Deutsche, Letras, Testi,Тексты, Texty, Norske, Текстови, Versuri, Persian, Liricí, Lirik, Nederlandse, Tagalog

Marioo – Sing Lyrics

Marioo – Sing (Officia Letra ) Letra Marioo Lyrics Marioo – Sing (Officia Letra )
Moyo kwako umekaa kaa oweyoo

Kila ukidunda Paa paaa oweo

We ndo nnaekuwazaga ga ga oweo

Waniwezaga oweo

Usifanye njia kwamba umenipitia

Utaniumiza dear

Nami mwanadamu mwenye moyo

Na majonzi pia

Si unasikia kulialia

Ndo nnachokihofia

Kama ushanigonga basi nionee

Huruma usiongeze gear

Uuuh nanana uwepo wako

Mi mwenzako naenjoy

Uuuh nana yani kwako

Nyang’anyang’a nipo hoi

Oooh nanana mi kwako sisemi

Sikohoi

Oooh nanana si unajua moyo

Moyo wangu kwako umekaa ka ka oweo

Kila ukidunda Paa paaa oweo

We ndo nnaekuwazaga ga ga oweo

Waniwezaga

You dey make me sing

Aaaah Aaaah Aaaaah

Baby Aaahh

Aaaah Aaaah Aaaaah

Baby you dey make me sing

Yani mpaka ladha zao

Za zamani nimesahau

Mesahau

Sura zao za zamani nasahau

Nasahau

Maana nikisikia kuhusu upendo

Nakuwaza wewe tu mahabuba

Na nikitakaga upendo

Nawaza lako tu huba

Na tukikwenda kwenye tendo

Unanifikishaga mpaka Cuba

Unakabaga uachi pengo

Si unajua

Moyo wangu kwako umekaa ka ka oweo

Kila ukidunda Paa paaa oweo

We ndo nnaekuwazaga ga ga oweo

Waniwezaga

You dey make me sing

Aaaah Aaaah Aaaaah

Baby Aaahh

Aaaah Aaaah Aaaaah

Baby you dey make me sing

Aaaah Aaaah Aaaaah

Baby Aaahh

Aaaah Aaaah Aaaaah

Ona naimba

Baby you dey make me sing
Lyrics, Letras, Paroles, Deutsche, Letras, Testi,Тексты, Texty, Norske, Текстови, Versuri, Persian, Liricí, Lirik, Nederlandse, Tagalog

Marioo Feat. AliKiba – Love Song Lyrics

Marioo Feat. AliKiba – Love Song ( Lyrics Video ) Letra Marioo Lyrics Marioo Feat. AliKiba – Love Song ( Lyrics Video )
Nipende sana mi nataka wale
Walo sema kwamba utania utaniacha wanune
Tu pendane yani mpaka wale
Wanao subiri tuachane wachunde
Acha wakae vikao wamalize waganga
Yana washinda yakwao waone kama waganga
Hao hao
Hatuli hatulali kwao unawa ponza uganga
Huoni hata sura zao mbaya
Wana nitaka mi siwataki nakutaka wewe tu
Waki nifata na kimbia nakufata wewe tu
Asa uki taka mi nilie amua wewe tu
Ama nitoke hadharani niseme

I love you
I love you
I love you
I love you

Ndagukunda
Je t’aime
Te amor
Te quiero
Jeg elsker deg
Honey, ich liebe dich nakupenda
Kila siku nikikuona nakuona
Kila siku nikikuona nakuona
We mzuri wewe
Kila mara yako wewe naona tamu, tamu
Hapa bado namuomba mungu wamwisho uwe ni wewe
Wanao nitaka siwataki mi nakutaka wewe tu
Waki nifata na kimbia mbio nakutaka wewe tu
Hata uki taka mi nilie uta amua wewe tu
Hata ukitaka nitoke hadharani nitangaze yakwamba

I love you
I love you
I love you
I love you
Lyrics, Letras, Paroles, Deutsche, Letras, Testi,Тексты, Texty, Norske, Текстови, Versuri, Persian, Liricí, Lirik, Nederlandse, Tagalog

Marioo & Alikiba – Love Song (Audio) Lyrics

Marioo & Alikiba – Love Song (Audio) Letra Marioo Lyrics Marioo & Alikiba – Love Song
Check out the lyrics the full song with official video to listen to, Learn to sing this song. available for all countries Song lyrics not found: Submit the lyrics of this song.In the form! letras2.com
[formidable id=4]
Lyrics, Letras, Paroles, Deutsche, Letras, Testi,Тексты, Texty, Norske, Текстови, Versuri, Persian, Liricí, Lirik, Nederlandse, Tagalog

Marioo LETRA – Manyaku ✓

Manyaku Lyrics

Marioo
Blacq, Blaq
They Call me Toto Bad
Sir God Kauba Kapatia
Hana Dosari Ana vutia
Sebure kwa chumba kajazia
Lahda asali ana natia
Akitupia ana pendeza
Kama mdori
Lips colour mpaka raha kama kachori
Namba D car hajatembezwa bado kigori
Kama kungu kala
Mpaka raha
Jicho goroli

Kama samaki sangara
Hiyo miyo mikogo (wacha bwana)
Manyaku kama nawaona
Nimacho kodo mieee

Akini touch touch
Moyo una dundaga
Una dundaga
Akisema sitaki
Akinuna moyo una dundaga
Una dundaga

Wapo watao sema hunifai
Ili wakuchukue
Vaniachie majanga
Penzi wa chakachue
Watakodi madinga ma tai
Ili wakuzuzue
Wajitie waganga
Penzi waligangue
Ujasiri sina wa kuvumilie
Unapo amizwaa
Huo moyo sina
Nikizama kina mpaka

Kama samaki sangara
Hiyo miyo mikogo (wacha bwana)
Manyaku kama nawaona
Nimacho kodo mieee

Akini touch touch
Moyo una dundaga
Una dundaga
Akisema sitaki
Akinuna moyo una dundaga
Una dundaga

Manyaku nyaku
Manyaku nyaku

Lyrics, Letras, Paroles, Deutsche, Letras, Testi,Тексты, Texty, Norske, Текстови, Versuri, Persian, Liricí, Lirik, Nederlandse, Tagalog

Marioo LETRA – Dar Kugumu ✓

Dar Kugumu Lyrics

Marioo
(Ah Bah)
Nana nana…

Dar kugumu kweli
Toka nifikie mwaka wa tano ushapita
Ila simaanishi nimefeli honey wangu we
Nana na
Washanikwamishaga matapeli
Maswahibu kibao yashanikuta
Mpaka leo kupona yote kheri
Mpenzi wangu wee

Na tumshukuru maulana aah
Tunapumua tunapumua
Tia maji tia maji sawa
Nilikotoka sio nilipokuwa
Hivi vichange vilivyopatikana aah
Tutakula na tutatanua aah
Tone moja la halali dawa
Kuliko kikubwa cha kukwapua

Ila sio mbaya
Ya miguu mitatu bajaji nimenunua
Kiroho mbaya
Chumba kimoja salasala nimeshapaua
Ila sio mbaya
Ya miguu mitatu bajaji nimenunua
Kiroho mbaya
Chumba kimoja salasala nimeshapaua

Funga na vilago vyakoo
Nakungojeea mama
Niko stendi
Aga na jirani zako
Afu nibebee mihogoo nimeimissii
Funga na vilago vyakoo
Nakungojeea mama
Niko stendi
Aga na jirani zako
Afu nibebee mihogoo nimeimissii

Basi fanya himaa
Mwenzio nimekumiss
Nimemiss kukuoonaaa
Nawe nambie ulichokimiss
Subira yako imehusika sana kunizalishia
Nikikumbuka nilivokuachaga shidani
Sikuona na budi kuhenyeka
Yashaiva matunda tuje
Kuvuuna aah unanisikii aah
Nishazunguka sana kutafuta utajiri
Bado sijapata aah

Ila sio mbaya
Ya miguu mitatu bajaji nimenunua
Kiroho mbaya
Chumba kimoja salasala nimeshapaua
Ila sio mbaya
Ya miguu mitatu bajaji nimenunua
Kiroho mbaya
Chumba kimoja salasala nimeshapaua

Funga na vilago vyakoo
Nakungojeea mama
Niko stendi
Aga na jirani zako
Afu nibebee mihogoo nimeimissii
Funga na vilago vyakoo
Nakungojeea mama
Niko stendi
Aga na jirani zako
Afu nibebee mihogoo nimeimissii

Maisha sio kutafutana
Na muomba Mungu hakosi hata chеmbe
Nilipambanaaaa sana aah
Hata wewe uvumiliе eeh
Kikubwa Imani tuu uu
Nilikuwekee aah

Tujee tulee eeh
Tuuje tuule eeh
Mi na wewe eeh

Lyrics, Letras, Paroles, Deutsche, Letras, Testi,Тексты, Texty, Norske, Текстови, Versuri, Persian, Liricí, Lirik, Nederlandse, Tagalog

Marioo LETRA – Wauwe ✓

Wauwe Lyrics

Marioo
Dengula nyonga msokoto
Maana mimi nimekuja na bapa
Masha luv wee lete watoto
Wanyonyonga party za kukata

Nyumbani mimi nimechoka
Mavitu ya mama
Nataka dhuluma dhuluma eeh
Nipate ndogo ndogo baridi mwanana

Kama kuna nyama choma fire
Mapucho pucho
Akikupa kwenye kona gwaya
Nyuma kwa mbele, kulia, kushoto
Wauwe! Wauwe! Wauwe! Wauwe!

VERSE 2
Maritili, ka dinner
Na anataka piece kama wema
Japo kitu kama mkono, mkono
Ata kwenye giza ndo kudema
Mama mama jishikilie
Nabadilikia kilimani
Oooh mama mama nitilie
Kama tandoni na ukokoni

Kama kuna nyama choma fire
Mapucho pucho
Akikupa kwenye kona gwaya
Nyuma kwa mbele, kulia, kushoto
Wauwe! Wauwe! Wauwe! Wauwe!

Alkaida! Na kama alkaida!
Alkaida! Na kama alkaida!
Wauwe! Wauwe! Wauwe! Wauwe!

Lyrics, Letras, Paroles, Deutsche, Letras, Testi,Тексты, Texty, Norske, Текстови, Versuri, Persian, Liricí, Lirik, Nederlandse, Tagalog

Marioo x Jovial – Mi Amor

Mi Amor – Marioo, Jovial Lyrics Letra:
Mi amor, te amo
Uuh baby, mon amour
Hakuna mwengine wa kumsikia
Kwenye masikio yaaangu
Hakuna mwengine wa kumuona
Kwenye macho yangu

Nibebe nibebe 
Honey nishushe mahabani aah
Nigege nigege eh
Me kwako taabani

Eeh eeh eeeh ah, mi amor mmh
Nikuite jina gani baby
Honey ama boo, mon amour
Eeh eeh eeeh ah
Mi amor mmh
Nikuite jina gan mahabuba au lazizi
Aah au Mon amour
Mon amour, Mmmh eeh aah

Moyoni ulivonikaa never seen before
Hata navyonipa never seen before
Wengine wa nini? Oh la la la, la la
I never seen before
Tuwe wote mpaka kifo
Madungaembe wa niniii?
Oh la la la, la la la
Kwenye joto nipepee
Kwa baridi nikupambate iiieh
Kwenye mvua nikinge
Kama mwamvuli

Nibebe kanitupe kileleni
Ah nipe yote yote aah taabani
Aah mi amor, hapo sasa

Marioo x Jovial – Mi Amor