Yammi – Hanipendi Lyrics

Hanipendi Lyrics

Yammi
Hivi unavyo nifanyia naomba visijirudi kwako
Maana mi naupenda moyo wako
Nime muonaaa dah.. ume mpost mtu wako
Mnaendana sanaa na mimi sio type yakoo

Nateswa na baridi silalii na weweseka
Kulikosa penzi lako dosari na dhalilika
Wakunipendeza amekuwa dhohari nyinyi nataabika
Zile njozi sizipati nzuri

Ooohhhh
Hanipendi hanipendi hanipendi
Hanitaki teena jamani hanipendi
Hanipendi hanipendi hanipendi
Hanitaki teena hanipendi..

Kabadilika kawa mbogo instagramu ana post madongo
Kautupa moyo kwa korongo sioni kasha nipa chongo
Mapenzi swala la uwongo siamini nime chezeshwa sodo
Mwenzenu nime ukoka moto
Unaniunguza mwenyewee

Nateswa na baridi silalii na weweseka
Kulikosa penzi lako dosari na dhalilika
Wakunipendeza amekuwa dhohari nataabika
Zile njozi sizipati nzuri

Ooohhhh
Hanipendi hanipendi hanipendi
Hanitaki teena jamani hanipendi
Hanipendi hanipendi hanipendi
Hanitaki teena hanipendi

Yammi – Namchukia Lyrics

Namchukia Lyrics

Yammi
Uzuri si hadidhiwi nayaona
Haya aapa nayaona
Mabaya yako kwa macho yangu nayona

Sio kwamba napenda kuwa kin’gan’ganizi tatizo mazoea
Nime kuzoea sidhani kama ntapona
Napiga simu namba inatumika kila dakika
Kumbe ameni block ame ni blacklist amenichoka
Roho inajenga sumu hata nkifika mbingu nime choka
Mungu aliumba mapenzi lakini yana watu wake

Wallahy namchukia kumfahamu najutia
Wallahy namchukia kumfahamu najutia

Unayo fanya siunaona uko sawa basi kazana
Si unapenda hivi navyo lia na ku n’gan’gana
Haujuwi ustaarabu unacho juwa ni kufoka na kutukana
Nahivi nilivyo bubu mama kanifunza nidhamu ni kukaa kimya

Sio kwamba napenda kuwa kin’gan’ganizi tatizo mazoea
Nime kuzoea sidhani kama ntapona
Napiga simu namba inatumika kila dakika
Kumbe ameni block ame ni blacklist amenichoka
Roho inajenga sumu hata nkifika mbingu nime choka
Mungu aliumba mapenzi lakini yana watu wake

Wallahy namchukia kumfahamu najutia
Wallahy namchukia kumfahamu najutia

Yammi – Tunapendezana Lyrics

Tunapendezana Lyrics

Yammi
Acha nikubembeleze kwa ushahiri na utenzi
Ahsante Mwalimu, Mwalimu wa mapenzi
Sogea niku non’goneze neno zuri la mapenzi
Kukuacha ni sumu labda apange Mwenyezi

Nyoyo zetu zime shikamana baba umeziba ufa
Kasoro zetu twavumiliana twatenganishwa na kufa
Si kati yetu dosari hakuna baby umeni chepa chepa
Mimi oo oo
Baby ooo ooo

Tume pendezaa tuna pendezana
Aaaaah!! Tume pendezana
Tuna pendezaa tume pendezanaa
Aaaah!! Tume pendezana

Hata kama wakisema una machafu mengi
Siyaoni nimekwama shimo la mapenzi
Mi kwako nisha tulizana ku n’goka siwezi
Mimi ooo ooo
Ooo ooo

Nyoyo zetu zime shikamana baba umeziba ufa
Kasoro zetu twavumiliana twatenganishwa na kufa
Si kati yetu dosari hakuna baby umeni chepa chepa
Mimi oo oo
Baby ooo ooo

Tume pendezaa tuna pendezana
Aaaaah!! Tume pendezana
Tuna pendezaa tume pendezanaa
Aaaah!! Tume pendezana